
HONDA TANZANIA “Pikipiki namba 1 Duniani”
566 subscribers
About HONDA TANZANIA “Pikipiki namba 1 Duniani”
Habari Mpendwa, Karibu kwenye Channel Maalum kwa Bidhaa Halisi za HONDA nchini Tanzania! Tunasambaza na kuuza Pikipiki, Genereta, Injini, Pampu za Maji, na Oil Zenye Ubora Halisi kutoka HONDA. Bidhaa zetu zinapatikana kupitia mawakala na wauzaji waliopo Kariakoo, viunga vya Jiji la Dar es Salaam, na mikoani. Tunapatikana Mtaa wa Congo, Kariakoo, karibu na Mgahawa wa Medina. Ili kupata Huduma zetu Wasiliana nasi: 📞 0675 252 697 Karibu ujipatie bidhaa bora na zenye kurudisha thamani ya uwekezaji wako haraka. BODA NI HONDA!
Similar Channels
Swipe to see more
Posts

Tupigie Leo kupata jenereta yako Mpya, Kazi iendelee bila vikwazo!


Tupigie leo upate Chombo chako kipya na OFA za kukurudishia thamani ya pesa zako haraka.


Tupigie leo upate chombo chako Imara!


https://www.instagram.com/reel/DJmnUj9Im0W/?igsh=N2xzejBxY2pqYmJ2

Kesho siku ya Ijumaa tarehe 23/05/2025 tutakuwa Tegeta kwajili ya kuonesha bidhaa zetu na tunawakaribisha watu wote waje kujaribu kuendesha pikipiki yetu pendwa ACE 150 MWAMBA.

Pikipiki ya Honda inakuhakikishia usalama kupitia ubora wake! Ukinunua pikipiki za Honda leo utapata OFA ya Ngao ambayo ipo imara na itakufaa pindi upatapo changamoto za barabarani. Tupigie! #OFAfulutanki #OFANgao/Crushguard


Ijumaa wiki hii tutakuwa CHANIKA kwajili ya kuonesha bidhaa zetu na kuwapa jaribio la kuendesha pikipiki yetu pendwa MWAMBA ACE 150. CHANIKA MWAMBA ANAKUJA.

pita kwenye zetu instagram na Facebook tuambie Chaguo lako…. tukumbuke Ofa bado zinaendelea na leo ni siku nzuri yakujipatia chombo chako kipya kabisa. #BodaniHonda #Pamoja4life
