Find WhatsApp Channels
Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.
Channels & Posts for #airways
Channels

Air Tanzania Company Limited - ATCL
Air Tanzania Company Limited (ATCL) is the national airline of Tanzania, carryin...

Kenya Airways Newsroom
The Official WhatsApp News Channel of Kenya Airways, the Pride of Africa 🌐 www...
Rv Consulting
We are hiring for top MNCs Like British Telecom Wipro Concentrix MetLife Hcl...

الخطوط الجوية العراقية Iraqi Airways
شركة الخطوط الجوية العراقية (Iraqi Airways)تعمل تحت الرمز (IAW)هي الناقل الوطني ...

Jobs in Qatar
Jobs in Qatar 2024 Qatar Government Jobs, Government Jobs in Qatar, Check Upcomi...

Francesco DAlessandro ✈️ Jet Privati Lusso - Fly Free Airways
*Parliamo della nostra Società di Jet di lusso, di viaggi di lusso, di Business ...

Medcourse BLS ACLS PALS Medical Courses in India
You can find BLS ACLS PALS USG ECG Airway and Basic surgical skills workshops ac...

Yemen Airways

AIRWAYS REGION
For quick communication, updates,
Posts
Just weeks after announcing the largest widebody a...
Just weeks after announcing the largest widebody aircraft order in Boeing's history, Qatar Airways i...
TSHALA AIRWAYS 18th June 2025 Flight schedule DAR-...
TSHALA AIRWAYS 18th June 2025 Flight schedule DAR-DXB-LAX (Direct Flight) Airbus A380-800 Economy: $...
This man was responsible for the biggest bank defa...
This man was responsible for the biggest bank defaults - Jet Airways, IL&FS, DHFL! Here’s the full s...
Ministry of Foreign Affairs (Office of the Spokesp...
Ministry of Foreign Affairs (Office of the Spokesperson) Return of Pakistani Zaireen from Iraq The...
Aviation Tanzania on Instagram: "Ndege ya British Airways, Boeing 787-8 Dreamliner, yapata hitilafu ya kiufundi ikiwa njiani kuelekea India. Ndege ya abiria ya British Airways aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyokuwa ikielekea Chennai, India, siku ya Jana Juni 15,2025 ililazimika kurejea Uwanja wa Ndege wa Heathrow jijini London baada ya kukumbwa na hitilafu ya kiufundi ikiwa angani. Ndege hiyo iliyokuwa ikifanya safari namba BA35, ilipaswa kuondoka Heathrow saa 6:40 mchana lakini ilichelewa na kuondoka saa 7:16 mchana (kwa saa za Uingereza) na Ilitarajiwa kufika Chennai saa 9:30 alfajiri (kwa saa za India). Kwa mujibu wa tovuti ya ufuatiliaji wa safari za ndege, Flightradar24, ndege hiyo ilibaki angani kwa karibu masaa mawili kabla ya kurejea salama Heathrow. Ingawa idadi kamili ya abiria waliokuwemo ndani ya ndege haijajulikana rasmi, video kadhaa zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha kuwa ndege hiyo ilikumbwa na tatizo kwenye moja ya sehemu za mabawa (flaps), hali iliyosababisha kurudi kwa dharura. Flightradar24 pia ilionesha kuwa ndege hiyo ilizunguka mara kadhaa angani kabla ya kutua. Katika taarifa iliyotolewa baadaye, British Airways ilithibitisha kuwa ndege hiyo ilitua salama na abiria wote pamoja na wafanyakazi walishuka salama bila matatizo yoyote. Hata hivyo, shirika hilo halikutoa maelezo ya kina kuhusu saa kamili ya kuondoka, muda halisi wa kuwa angani, au idadi ya watu waliokuwemo ndani. Tukio hili limetokea siku chache tu baada ya ajali mbaya ya ndege ya Air India Dreamliner huko Ahmedabad, India, ambapo watu 241 walifariki dunia tukio ambalo limezua taharuki kubwa kuhusu usalama wa ndege aina ya Dreamliner. Chanzo: First post #flightdiversion #boeing787dreamliner #britishairways✈️ #airindia #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"
https://www.instagram.com/p/DK9MA9rtTap/?igsh=MXRkM2gzeDVsMnl3ZQ== *Ndege ya British Airways, Boein...
ಚೆನ್ನೈಗೆ ಹೊರಟಿದ್ದ ಬ್ರಿಟಿಷ್ ಏರ್ವೇಸ್ ಡ್ರೀಮ್ಲೈನರ್ನಲ್ಲಿ ತಾಂತ್ರಿಕ ದೋಷ - ಮರಳಿ ಲಂಡನ್ನಲ್ಲಿ ಲ್ಯಾಂಡಿಂಗ್! | Public TV - Latest Kannada News, Public TV Kannada Live, Public TV News
ಚೆನ್ನೈಗೆ ಹೊರಟಿದ್ದ ಬ್ರಿಟಿಷ್ ಏರ್ವೇಸ್ ಡ್ರೀಮ್ಲೈನರ್ನಲ್ಲಿ ತಾಂತ್ರಿಕ ದೋಷ – ಮರಳಿ ಲಂಡನ್ನಲ್ಲಿ ಲ್ಯಾಂಡಿಂಗ್!...
Авиакомпания Uzbekistan Airways внесла корректировки в расписание полётов в Дубай и Шарм-эль-Шейх - Upl.uz, 15.06.2025
Авиакомпания Uzbekistan Airways внесла корректировки в расписание полётов в Дубай и Шарм-эль-Шейх ht...
Авиакомпания Uzbekistan Airways прекратила полёты из Ташкента в Тель-Авив - Upl.uz, 15.06.2025
Авиакомпания Uzbekistan Airways прекратила полёты из Ташкента в Тель-Авив https://upl.uz/obshestvo/5...
*🎓 5 Free Virtual Internships to Build Data Analy...
*🎓 5 Free Virtual Internships to Build Data Analytics Skills (No Experience Needed!)* 1. *Tata – D...
Aviation Tanzania on Instagram: "Wote walinusurika Wakiwa Kwenye siti namba 11A: Mwanamuziki wa Thailand na Manusura wa ajali ya Air India. Msanii maarufu wa muziki nchini Thailand, Ruangsak Loychusak, ameibua hisia mpya za majonzi na mshangao baada ya kusimulia kuwa aliwahi kunusurika katika ajali mbaya ya ndege ya Thai Airways mwaka 1998 akiwa amekaa kwenye siti namba 11A – sehemu ileile ambayo Bw.Vishwash Kumar Ramesh, manusura pekee wa ajali ya ndege ya Air India, iliyotokea hivi karibuni, alikuwa ameketi. Ruangsak, ambaye alipata umaarufu mkubwa miaka ya 90 kwa jina la utani “Iron Bones”, alinusurika ajali ya ndege ya Thai Airways TG261 iliyotokea mnamo Disemba 11, 1998, wakati ndege aina ya Airbus ilipoanguka kwenye shamba la mpira huko Surat Thani, na kusababisha vifo vya watu 101. Akiwa ameketi katika kiti namba 11A, alinusurika kwa miujiza lakini aliishi na hofu ya kutumia usafiri wa anga kwa kipindi cha zaidi ya miaka kumi. Ruangsak alipata mshtuko baada ya kusikia kuwa Vishwash Kumar Ramesh, manusura pekee wa ajali ya ndege ya Air India, Boeing 787 Dreamliner iliyotokea tarehe 12 Juni 2025 huko Ahmedabad, India, naye alikuwa ameketi kwenye kiti namba 11A kabla ya ndege hiyo kuanguka katika bweni la chuo kikuu na kuua watu wote waliokuwemo isipokuwa yeye. Kupitia chapisho lake la hisia mitandaoni, Ruangsak alieleza kuwa taarifa hiyo ilimpa msisimko usio wa kawaida na kumfanya atafakari kwa kina namna maisha yalivyojawa na miujiza. Aidha, alitoa salamu za rambirambi kwa familia za wahanga wa ajali ya Air India, akisema kuwa kiti namba 11A sasa ni zaidi ya namba – ni alama ya matumaini na ushuhuda wa uhai katika mazingira ya maafa. #planecrash #survivor #planecrashsurvivor #airindia #boeing787dreamliner #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"
https://www.instagram.com/p/DK6TbhyNW8z/?igsh=MXhxbGh2ZTc5N2ZubA== *Wote walinusurika Wakiwa Kwenye...
Kebetulan Ajaib Dua Korban Selamat dari Kecelakaan Pesawat Terpisah Dekade, Duduk di Kursi yang Sama 11A
Dilansir oleh The Telegraph Minggu (15/6), James Loychusak yang kini berusia 47 tahun, berhasil sela...
Kuwait Airways Reschedules Beirut and Amman Flights
Kuwait Airways Reschedules Beirut and Amman Flights https://www.arabtimesonline.com/news/kuwait-airw...