Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #boeing

Posts

Investigators have recovered the cockpit voice rec...

Investigators have recovered the cockpit voice recorder from the Air India Boeing 787 crash near Ahm...

Menos de uma semana da queda de Boeing 787 Dreamliner, novo incidente afeta o mesmo modelo de avião

Menos de uma semana da queda de Boeing 787 Dreamliner, novo incidente afeta o mesmo modelo de avião ...

एयर इंडिया विमान दुर्घटना की जांच के लिए बोइंग एक्‍सपर्ट पहुंचे अहमदाबाद

एयर इंडिया विमान दुर्घटना की जांच के लिए बोइंग एक्‍सपर्ट पहुंचे अहमदाबाद https://ndtv.in/india/boei...

Aviation Tanzania on Instagram: "Ndege ya British Airways, Boeing 787-8 Dreamliner, yapata hitilafu ya kiufundi ikiwa njiani kuelekea India. Ndege ya abiria ya British Airways aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyokuwa ikielekea Chennai, India, siku ya Jana Juni 15,2025 ililazimika kurejea Uwanja wa Ndege wa Heathrow jijini London baada ya kukumbwa na hitilafu ya kiufundi ikiwa angani. Ndege hiyo iliyokuwa ikifanya safari namba BA35, ilipaswa kuondoka Heathrow saa 6:40 mchana lakini ilichelewa na kuondoka saa 7:16 mchana (kwa saa za Uingereza) na Ilitarajiwa kufika Chennai saa 9:30 alfajiri (kwa saa za India). Kwa mujibu wa tovuti ya ufuatiliaji wa safari za ndege, Flightradar24, ndege hiyo ilibaki angani kwa karibu masaa mawili kabla ya kurejea salama Heathrow. Ingawa idadi kamili ya abiria waliokuwemo ndani ya ndege haijajulikana rasmi, video kadhaa zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha kuwa ndege hiyo ilikumbwa na tatizo kwenye moja ya sehemu za mabawa (flaps), hali iliyosababisha kurudi kwa dharura. Flightradar24 pia ilionesha kuwa ndege hiyo ilizunguka mara kadhaa angani kabla ya kutua. Katika taarifa iliyotolewa baadaye, British Airways ilithibitisha kuwa ndege hiyo ilitua salama na abiria wote pamoja na wafanyakazi walishuka salama bila matatizo yoyote. Hata hivyo, shirika hilo halikutoa maelezo ya kina kuhusu saa kamili ya kuondoka, muda halisi wa kuwa angani, au idadi ya watu waliokuwemo ndani. Tukio hili limetokea siku chache tu baada ya ajali mbaya ya ndege ya Air India Dreamliner huko Ahmedabad, India, ambapo watu 241 walifariki dunia tukio ambalo limezua taharuki kubwa kuhusu usalama wa ndege aina ya Dreamliner. Chanzo: First post #flightdiversion #boeing787dreamliner #britishairways✈️ #airindia #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DK9MA9rtTap/?igsh=MXRkM2gzeDVsMnl3ZQ== *Ndege ya British Airways, Boein...

A recent Russian attack on Kyiv damaged the premis...

A recent Russian attack on Kyiv damaged the premises of American aerospace giant Boeing. It appears ...

Aviation Tanzania on Instagram: "Wote walinusurika Wakiwa Kwenye siti namba 11A: Mwanamuziki wa Thailand na Manusura wa ajali ya Air India. Msanii maarufu wa muziki nchini Thailand, Ruangsak Loychusak, ameibua hisia mpya za majonzi na mshangao baada ya kusimulia kuwa aliwahi kunusurika katika ajali mbaya ya ndege ya Thai Airways mwaka 1998 akiwa amekaa kwenye siti namba 11A – sehemu ileile ambayo Bw.Vishwash Kumar Ramesh, manusura pekee wa ajali ya ndege ya Air India, iliyotokea hivi karibuni, alikuwa ameketi. Ruangsak, ambaye alipata umaarufu mkubwa miaka ya 90 kwa jina la utani “Iron Bones”, alinusurika ajali ya ndege ya Thai Airways TG261 iliyotokea mnamo Disemba 11, 1998, wakati ndege aina ya Airbus ilipoanguka kwenye shamba la mpira huko Surat Thani, na kusababisha vifo vya watu 101. Akiwa ameketi katika kiti namba 11A, alinusurika kwa miujiza lakini aliishi na hofu ya kutumia usafiri wa anga kwa kipindi cha zaidi ya miaka kumi. Ruangsak alipata mshtuko baada ya kusikia kuwa Vishwash Kumar Ramesh, manusura pekee wa ajali ya ndege ya Air India, Boeing 787 Dreamliner iliyotokea tarehe 12 Juni 2025 huko Ahmedabad, India, naye alikuwa ameketi kwenye kiti namba 11A kabla ya ndege hiyo kuanguka katika bweni la chuo kikuu na kuua watu wote waliokuwemo isipokuwa yeye. Kupitia chapisho lake la hisia mitandaoni, Ruangsak alieleza kuwa taarifa hiyo ilimpa msisimko usio wa kawaida na kumfanya atafakari kwa kina namna maisha yalivyojawa na miujiza. Aidha, alitoa salamu za rambirambi kwa familia za wahanga wa ajali ya Air India, akisema kuwa kiti namba 11A sasa ni zaidi ya namba – ni alama ya matumaini na ushuhuda wa uhai katika mazingira ya maafa. #planecrash #survivor #planecrashsurvivor #airindia #boeing787dreamliner #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DK6TbhyNW8z/?igsh=MXhxbGh2ZTc5N2ZubA== *Wote walinusurika Wakiwa Kwenye...

Sube a 279 la cifra de muertos por caída de avión de Air India en Ahmedabad

🚨 Al menos 279 personas murieron luego de que un Boeing 787 de Air India se estrellara el jueves en...

The nation stood united in grief, paying heartfelt...

The nation stood united in grief, paying heartfelt tributes to the victims of the crash of the Londo...

એર ઇન્ડિયા વિમાન દુર્ઘટના બાદ તમામ બોઇંગ 787 વિમાનોની તપાસના આદેશ, DGCA એલર્ટ પર - Navsarjan Sanskruti

એર ઇન્ડિયા વિમાન દુર્ઘટના બાદ તમામ બોઇંગ 787 વિમાનોની તપાસના આદેશ, DGCA એલર્ટ પર https://www.navsarj...

India orders inspection of Boeing 787s after Air India crash

India's aviation regulator ordered all Boeing 787s being operated by local carriers to be inspected ...

*Nacionales*🇻🇪 *Momento histórico para Venezuel...

*Nacionales*🇻🇪 *Momento histórico para Venezuela: El Papa León XVI anunció la canonización de Jos...

THE ZIM BULLETIN NEWS | WhatsApp Channel

_Forward Everywhere_ *Indian Plane Crash: Woman Explains How A Traffic Congestion Saved Her Life* ...