Find WhatsApp Channels

Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.

Channels & Posts for #flightradar24

Posts

*विमानों से भरा आसमान, तीन जगहों पर 'नो फ्लाई जोन'...

*विमानों से भरा आसमान, तीन जगहों पर 'नो फ्लाई जोन'; वैश्विक तनाव के बीच ग्लोबल एअर ट्रैफिक की फोटो व...

Aviation Tanzania on Instagram: "Ndege ya British Airways, Boeing 787-8 Dreamliner, yapata hitilafu ya kiufundi ikiwa njiani kuelekea India. Ndege ya abiria ya British Airways aina ya Boeing 787-8 Dreamliner iliyokuwa ikielekea Chennai, India, siku ya Jana Juni 15,2025 ililazimika kurejea Uwanja wa Ndege wa Heathrow jijini London baada ya kukumbwa na hitilafu ya kiufundi ikiwa angani. Ndege hiyo iliyokuwa ikifanya safari namba BA35, ilipaswa kuondoka Heathrow saa 6:40 mchana lakini ilichelewa na kuondoka saa 7:16 mchana (kwa saa za Uingereza) na Ilitarajiwa kufika Chennai saa 9:30 alfajiri (kwa saa za India). Kwa mujibu wa tovuti ya ufuatiliaji wa safari za ndege, Flightradar24, ndege hiyo ilibaki angani kwa karibu masaa mawili kabla ya kurejea salama Heathrow. Ingawa idadi kamili ya abiria waliokuwemo ndani ya ndege haijajulikana rasmi, video kadhaa zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zilionyesha kuwa ndege hiyo ilikumbwa na tatizo kwenye moja ya sehemu za mabawa (flaps), hali iliyosababisha kurudi kwa dharura. Flightradar24 pia ilionesha kuwa ndege hiyo ilizunguka mara kadhaa angani kabla ya kutua. Katika taarifa iliyotolewa baadaye, British Airways ilithibitisha kuwa ndege hiyo ilitua salama na abiria wote pamoja na wafanyakazi walishuka salama bila matatizo yoyote. Hata hivyo, shirika hilo halikutoa maelezo ya kina kuhusu saa kamili ya kuondoka, muda halisi wa kuwa angani, au idadi ya watu waliokuwemo ndani. Tukio hili limetokea siku chache tu baada ya ajali mbaya ya ndege ya Air India Dreamliner huko Ahmedabad, India, ambapo watu 241 walifariki dunia tukio ambalo limezua taharuki kubwa kuhusu usalama wa ndege aina ya Dreamliner. Chanzo: First post #flightdiversion #boeing787dreamliner #britishairways✈️ #airindia #aviationtanzania✈ #aviationtanzaniaupdates #aviata #aviataupdates"

https://www.instagram.com/p/DK9MA9rtTap/?igsh=MXRkM2gzeDVsMnl3ZQ== *Ndege ya British Airways, Boein...

*Another Plan crash in India seven people killed* ...

*Another Plan crash in India seven people killed* Also Read: *Air India plane crash death toll rises...

Trafic aérien mondial avec près de 22 000 vols dan...

Trafic aérien mondial avec près de 22 000 vols dans les airs. Le récent nettoyage de l'espace aérien...

इजराइल के हमले के ईरान का एयरस्पेस बंद इजरायली ड...

इजराइल के हमले के ईरान का एयरस्पेस बंद इजरायली डिफेंस फोर्सेज ने ईरान के कई सैन्य ठिकानों पर हमला ...

Airlines Divert Flights, Airspace Closes After Israeli Strikes On Iran

*Airlines Divert Flights, Airspace Closes After Israeli Strikes On Iran* Airlines swiftly cleared t...

An Air India flight turned back to Phuket Internat...

An Air India flight turned back to Phuket International Airport on Friday morning after crew receive...

*Lone passenger survives Air India crash, at least...

*Lone passenger survives Air India crash, at least 241 dead* https://thevoiceonlinenews.com/t8nj ___...

Eragon Online News | WhatsApp Channel

> Let's Forward this Post Everywhere ❕ *WORLD’S LUCKIEST MAN • How did Ramesh survive world’s worst...

*💥📹 ЦАХАЛ опублікував нове відео з регіонами Іра...

*💥📹 ЦАХАЛ опублікував нове відео з регіонами Ірану, які сьогодні атакував Ізраїль.* Армія Ірану з...

THE ZIM BULLETIN NEWS | WhatsApp Channel

_Forward Everywhere_ *WORLD’S LUCKIEST MAN • How did Ramesh survive world’s worst aviation disaster...

‘Bitter and painful fate’: Ayatollah Ali Khamenei warns Israel after strikes on Iran | News24

Airlines cleared out of the airspace over Israel, Iran and Iraq early on Friday after Israel launche...