
Samia Suluhu Hassan
February 14, 2025 at 11:42 AM
Addis Ababa, Ethiopia
14.02.2025
Mapema leo nilipowasili kwa kazi nchini Ethiopia, ambapo pamoja na mambo mengine nitashiriki Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU), sambamba na Mkutano wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AUPSC).
❤️
🙏
👍
😂
😮
😢
553