
Prime Minister Tanzania
February 1, 2025 at 08:31 AM
*WAZIRI MKUU ASHIRIKI BUNGE BONANZA*
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Februari 01, 2025 ameshiriki katika mazoezi ya pamoja kwenye Tamasha la Michezo la Bunge Bonanza, lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya John Merlin jijini Dodoma.
❤️
🙏
👏
👍
😢
14