
Vice President Tanzania
January 28, 2025 at 11:49 AM
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) Bw. Bo Li, mazungumzo yaliyofanyika kando ya Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam leo tarehe 28 Januari 2025.
🙏
❤️
👍
😂
😢
19