
Chama Cha Mapinduzi Taifa
February 16, 2025 at 09:00 PM
@wazazi_ccm_tz Wana Jambo Lao Mkoani Manyara.
Kazi ya Chama kwa Wananchi, Ziara ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Taifa Komred @ally_hapi atakagua miradi Mbalimbali ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na Kusikiliza Wananchi katika Maeneo mbalimbali mkoani humo.
#kaziyachamakwawanachama
#chamalmaranassh
#kaziiendelee
#wazazimpangomzima
❤️
💚
🇹🇿
👍
🖕
🫡
11