Kijiweni

Kijiweni

439.8K subscribers

Verified Channel
Kijiweni
Kijiweni
February 28, 2025 at 08:13 AM
Golikipa wa Simba, Moussa Camara na beki Che Malone wataikosa mechi ya Ligi Kuu ya NBC kesho Machi 1 dhidi ya Coastal Union kutokana na majeraha. Camara anakosa mechi ya kwanza msimu huu baada ya kucheza mechi 2️⃣0️⃣ (dakika zote 1800) na kupata Clean Sheets 1️⃣5️⃣ *Kwa Emoji Moja Hapa Umeipokeaje Taarifa Hii?*⤵️
Image from Kijiweni : Golikipa wa Simba, Moussa Camara  na beki  Che Malone  wataikosa mechi...
😢 😂 👍 ❤️ 🙏 😭 😮 🖕 🦁 🐒 234

Comments