Msenangu FM
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                February 24, 2025 at 07:39 AM
                               
                            
                        
                            POLISI MMOJA WA KENYA AMERIPOTIWA KUFARIKI, HAITI.
Afisa mmoja wa polisi wa Kenya nchini Haiti chini  ya mpango wa kiusalama wa MSS amefariki katika operesheni za kiusalama dhidi ya magenge katika eneo la Segur-Savien nchini humo.