
O.H.O ENTERPRISES {TZ}💎📍
February 23, 2025 at 08:22 PM
Nafasi za kazi Dimd Tanzania Limited, wasambazaji na wauzaji wa vipodozi ,Tunaitaji Brand ambassador ( promoter's) warembo wa kuwa mabalozi wa bidhaa zetu
Sifa za wanaoitajika:
▫️Mchangamfu na mwenye hulka ya kujituma kwenye kazi
▫️Uwezo mzuri wa mawasiliano na kuweza kutatua changamoto eneo la kazi
▫️Mwenye uzoefu wa Masoko na mauzo kwa ujumla
▫️Mwenye utayari wa kufundishwa juu ya bidhaa za kampuni
▫️Uwezo wa kujenga mahusiano mazuri na wateja pamoja na wafanyakazi wenzake.
Mwenye shauku na maswala ya urembo tuma maombi yako sasa
📩 Jinsi ya Kutuma Maombi:
Tuma ujumbe kwa namba +255 677 600 607 kabla ya 26/02/2025, ( watakao tuma ujumbe ndo watakaopewa kipaumbele) ukitaja jina lako, uzoefu wako (kama upo), na kwa nini ungekuwa chaguo sahihi kwa nafasi hii!