
NTV Kenya
February 20, 2025 at 10:22 AM
Aliuawa Kwa Tofauti Za Ugali
Reuben Lutaboni mwenye umri wa miaka 42 na mdogo wake Michael Lukala, mwenye umri wa miaka 40, walitofautiana kuhusu kiwango cha ugali ambao wawili hao walipaswa kutayarisha, mzozo uliosababisha kifo cha Michael.