UFUNDI KITANDANI❤️👙😍
UFUNDI KITANDANI❤️👙😍
February 3, 2025 at 08:49 PM
MUWASHO 05_____06🔞 Tulipoishia "Kwenda, wewe sio mwanamke kabisa yaani mimi hata mwezi sijakaa ushanisaliti" aliongea kama mtu mwenye ushahidi kabisa "Mi sijaku.... " "Toka..." alinifokea na kukata simu. Hapo ndo huzuni ilizidi kunishamiri maana nilikuwa nampenda sana halafu nilihisi ameshajua ni kweli, sasa nilibaki nikiwaza kwamba nani kamuambia?.NILIHUZUNIKA Endelea nayo Moyoni mwangu nilijua kabisa kama ni kumsaliti Seba na akajua basi itakuwa amejua kuhusiana Siraji maana kwanza amekuja nyumbani kabisa na pia ni mtu anayefahamiana naye, niliogopa Moyo ukiwa unanienda mbio Nilichukua simu na kumpigia siraji, siraji alipokea kwa nidhamu ya hali ya juu "Diana vipi kwema?" aliniuliza "Sio kwema hata kidogo" nilimuambia kwa hasira kidogo "khee kwani tatizo nini shemeji" "Nilikuambia tusifanye ona sasa rafiki yako ameshajua kilichotokea, sio vizuri nakuambia" "Amejua?" aliniuliza kwa mshangao kana kwamba hafahamu kitu "Ndio amejua sasa sijui itakuwaje" "Embu subiri nimpigie, please usikate simu usikilize kila kitu" alisema Siraji "Ok haina neno" Nilitulia mtandao ulinipa taarifa kwamba nimesubirishwa kwa muda, na hapo ni kwamba muda huo alikuwa akampigia Seba Nilisikia simu imeunganishwa tena mi nikatulia kimya kusikiliza "Uko wapi ndugu yetu" aliuliza Seba "Niko kijiweni hapa vipi huku lini?" Siraji aliuliza "huko bro ndo mpaka mwakani, hahaaha" nilisikia sauti ya Seba ikimtania Siraji hapo tu nikapata tumaini kidogo kwamba jamaa hana hasira kivile "Hahaha, sawa boss but shem analalamika sana kwamba unamsingizia kakucheat" Siraji aliongea "Wee yule demu nna uhakika leo kanicheat tena inabidi afuate mambo yake" maneno haya yalinikwarua roho nikajihisi upweke mno maana nilikuwa nampenda seba kuliko mwanaume yeyote japo nilikuwa nikimcheat mara moja moja. Nilitamani nijibu yale maneno lakini nilitulia huku nikivuta pumzi kwa nguvu huku nikiwasikiliza "Kwani kakucheat vipi au unamuhisi tu mtoto wa watu" "Mzee baba, mimi sio fala demu kanipigia simu ananiomba nirudi lakini mimi nikamuambia asubiri likizo iishe ndo nije huko maana nina shughuli ya ujenzi naendelea nayo hapa nyumbani, baada ya hapo alikata simu kwa hasira kila nikimpigia hapokei wala sms hajibu halafu mwisho wa siku akazima simu mpaka jioni hii ndo ananitafuta wee unahisi alikuwa wapi kama sio udangani?" alisema kwa hasiraa "Aaaah kumbe ndo hivyo broo, mi sijaelewa niliona amepita hapa kwa uso uliokakamaa nikamuuliza akasema et umemuacha bure bila kukukosea" "Fala yule achana naye" Seba alifoka "Poa kaka" alisema Siraji Simu ilikatwa mi nikapata majibu kwamba kumbe Seba sio kwamba kajua nimemchit la amehisi baada ya simu yangu kuzima chaji, nilitumia fursa ile kumtext "Mbona unakuwa hivyo mume wangu" nilimuuliza kwa SMS lakini hakujibu nikaongeza "Baby nijibu basi, tena naomba unipigie kuna kitu nikuambie" nilimtumia tena "Kama una shida ya kuniambia kitu piga wewe mimi sina dakika za kuchezea" alifoka kwenye SMS "Sawa mume wangu subiri" nilimpamba vizuri na kujilaza kitandani halafu nikampigia halafu nikaanza kwa mideko "Honey" nilimuita akakaa kimya "Hubby" nilimuita tena akafoka "Eleza shida yako bana usinipotezee muda "Daaah, mbona unakuwa hivyo... Eh sweetie mbona hasira nyingi jamani love" nilimdekea kwa hisia kali huku nikiibana sauti yangu puani na kwenye koo "Unajua sijisikii vizuri mume wangu ukikasirika napata taabu, embu nambie lakini Seba mimi nimekukosea nini mbona unasema nimekucheat lakini akati sijafanya chochote? Eeh" nilimuuliza yeye akakaa kimya nikaongeza dozi ya kumlegeza Seba wangu "Niambie mume wangu una hasira sana au umemiss kitu kama mimi nilivyomiss penzi lako ndo maana muda wote nakuwa na hasira, kama umemiss sana nifuate basi au ndo mpaka nije mimi nikupatie ndo utarizika, halloo.....hallo mbona haujibu Seba" niliuliza kwa nidhamu huku nikipima oil lakini hakujibu nikaanza kulia cha uongo na kweli kwenye simu "Daaaah" Seba aliongea kwenye simu baada ya kusikia nikilia kwa kwikwi "Wanawake bwana mnaboa sana" aliongea huku akionyesha dhahiri kwamba ameshalegea na maneno yangu "Tumefanya nini lakini mbona huniambii kwamba nani kakuambia mimi nimekucheat mume?" nilimuuliza "Tuachane na hayo, tufanye yameisha" aliniambia huku nilipokuwa nikatabasamu kwa furaha "Umenisamehe" nilimuuliza "Ndio mke wangu but kuwa makini ninakupenda mno" "Thank you baba watoto" nilisema na kulegeza sauti nikaongeza mideko "But beiiiby?" nilimuita kwa mahaba mazito "Nambie" "Si uje? Mi nawashwa mwenzio" nilisema huku nikivuta pumzi "Unawashwa mimi mwenyewe nina hamu sana" "Ndio, uje unikune mwenzio nina nye... hatari hatari" "Usijali nitahakikisha wiki ijayo nakuja huko" alisema "Mmmwah mume wangu" nilisema "Mh ningekuwa hapo ungekuta imo ndani imelowa mnoo nateleza tuuu" "Aaaaash please usinitamanishe basiii" nilisema kwa hisia basi akacheka Seba wangu tukawa tumeyamaliza hivyo...... ITAENDELEA!!! MUWASHO 06 🔞 Baada ya Siku 3 Ilikuwa ni siku ya jumanne siku hiyo nilikuwa sina kipindi cha asubuhi wala mchana chuoni kwa sababu waalimu hawakuwepo waliofundisha vipindi hivyo, ila kulikuwa na kipindi cha jioni mida ya saa 11 hivyo basi ilifika mida ya saa kumi na robo ndo nikajishtukia "Mh ntawahi kweli? Ngoja nijiandae" niliwaza halafu nikaweka simu pembeni na kuvua nguo kisha nikajifungia kitenge nilijua wazi kwamba nisingeweza kuwahi chuo hivyo nilichukua nafasi hiyo kumpigia siraji simu "Samahani shemu naomba baada ya dakika 25 uje unichukue ili unipeleke hadi kivukoni" niliongea naye "Oh sawa shemu ntakuja" alinijibu "Ok" nilisema na kukata simu halafu nikaelekea bafuni maana chumba changu kilikuwa self. Nilipoingia bafuni sikuchukua muda mwingi kuoga hivyo nilimaliza na kurudi nyumbani nikaanza kujipamba kwa makeup na marashi, lip shine na wanja yaani nikawaka tena ikiwa ni kabla sijavaa nguo zangu bado nilikuwa na kanga niliyotoka nayo bafuni. Niliifungua na kuiweka sehemu nzuri halafu nikachukua shanga na kujifungia kiunoni huku nikijitazama kwenye kioo "Mmh nna tako" niliisemea nafsi halafu nikatabasamu Nikiwa nawaza hivyo mara simu yangu iliita nikaikodolea macho na kuona ni Flora ananipigia ikabidi niifuate chap maana alikuwaga na habari za chuo sana "Vipi uko wapi?" aliniuliza "Niko nyumbani bado ndo najiandaa niende chuo" nilimuambia "Mh wala usiende mwaya nasikia Lecturer haji tena" alisema "Mmmh kweli?" niliuliza "Ndio" alinijibu "Wooow, safi sana bora tu sikuwahi" nilisema "Poa" Alipokata simu niliwasha data ili nithibitishe kama ni kweli, maana kama ni taarifa hiyo lazima kwenye group la WhatsApp la darasa letu wangetoa taarifa, kweli nilitazama nikakuta ujumbe kutoka kaa Kiongozi wa darasa kwamba mwalimu haji, nilifurahia sana na hata nguo sikuvaa, nilijirusha kitandani kwa furaha ya ajabu tena nikiwa uchi mwikini mwangu kukiwa na shanga tu Nililala kifudifudi huku shundu langu kubwa nikiliacha juu kwa furaha, hapo nilipata chance ya kuchati na My Seba wangu "Mume wangu" nilimtext "Niambie" "unafanyaje now?" niliuliza "Niko nimejilaza kitandani naangalia America's got talent" Alinijibu kwa ufasaha "Ok naomba ujitahidi niionea rungu yako sijaiona muda" nilisema "Ok wait" alinijibu Nikiwa nasubiri kutumiwa Rungu nilichukua earfones nikatia masikioni halafu nikainamisha kichwa changu na kuendelea kusikiliza muziki kutoka kwa Tatiana taratibu Nilivyozoea kulala nilisinzia pale pale, masikioni nilisikia kama vile nipo club unajua mwenyewe ukilala na muziki ndoto zinazokuja za ajabu ajabu. Nililala ikafika mahali nilianza kujihisi tofauti kama vile kuna mtu ananipapasa sehemu za makalio yanfu na kushika shanga Nilishtuka usingizini na kugeuza shingo kwa uoga nikatazama hivi ni siraji anachezea makalio yangu tena mpaka kitumbua Alikuwa ashakitekenya kabisa na vidole kimelowa. Mbaya zaidi alimuwa ameshavua suruali yake na uboo kautegesha nyuma hata hajaingiza ananichezea kwanza, yaani nilikasirika sana "Shemu vipi tena?"Nilimuuliza Huku niKipanga kuinuka hata nimzabe kibao lakini akiuwahu udhaifu wangu akanichomekea kidole cha kati, nikajikuta nanyanyua kiuno juu na kusikilizia "Wewe si umeniambia nije kuchukue nikupeleke kivukoni jamani?" Aliniuliza kweli ndo nkakumbuka sijampa taarifa kwamba siendi tena "Sorry nilisahau kukupa taarifa kwamba siendi tena" nilisema huku nikiwa nahema maana nilikuwa nimeshanogewa na msuguo wa midole chake. Siraji alichomoa kidole akakishika kiuno na kunivuta kwa nguvu, bila kutarajia nikwa nimepiga magoti kitandani, nilisikia nikiigusa naniliu yake kwa mbali huku ikinesa nesa, halafu akaipaka mate na kuiweka kunako taratiiiibu huku akiacha kichwa ndani na kunishika kiuno vizuri halafu akawa ananiuliza maswali "Mbona umelala uchi hakuogopa" aliniuliza lakini mi akili ilikuwa imeshahama, kichwani niliwaza alichokiingiza ndani ya kidude changu tu, yaani mwenyewe nilijisukumiza nyuma ikazama yote, nilichanganyikiwa maana nilisikia utamu hali ya juu Alikishika kiuno changu akawa anakipapasa, mimi nilifumba macho nikiwa hoi. Nilizungusha kalio langu kila nikizungusha hivi ilinigusa katika kuta za uchi wangu nikajikuta naanza kupiga kelele "Sssheem aaah" nilisema kwa hisia kali "Mbona wewe yako ni tamu kuliko ya rafiki yako?" nilimuuliza huku nikimkatikia. Kila mara siraji alivyovuta kiuno changu na tumbo lake likagonga makalio yangu ndo raha zilipozidi kunawiri, nilisikia utamu sana sikutarajia kuupata kwa siku ile "Aaaash aaah baby please siraji ni taamu" nilisema kwa hisia halafu nikauvuta mto na kuukusanya mikono nimambinulia makalio zaidi ili aione hiyo mali yenye kutoa kila aina ya mawazo. Alinisugua alisimamia kucha, na alicheza na kiuno changu vizuri nikabaki niko hoii huku napiga makelele nyumba nzima "Aaaaash oh baby aaah aah" nilisema kwa hisia kali huku nikizungusha uno langu, nilikuwa nimeshakaribia kileleni nataka kukojoa "aaaaaah baby oooh ssssssssh sweeetie" nilisema kwa utamu maana nilisikia kama shoti mwili huku nikifika kileleni mdogo mdogo nililowa nikalegea kabisa, niliufunika uso wangu juu ya mto huku nikiacha naniliu nyuma yeye apambane pia afike nisijemuacha nyuma Alimaliza kufika tukajifuta na nilijifungia kanga nikaketi "Siraji" nilimuita akanigeukia bila kuongea "Please usiwe unanipa hizi raha ntamsahau seba et unajua kunipa raha mimi naogopa" nilimuambia maana nilikuwa nishashindwa kujizuia kwa hisia alizonipatia Ghafla mlango wangu uligongwa "Ngo ngo ngo" "Nani?" niliuliza "Ibra" alitamka mtu huyo "Ibra????" niliuliza kwa mshangao maana Ibra alikuwa ni rafiki yake Seba mno na alikuwa ni askari mwenzake "Ndio, mimi Ibra nimekaa sana hapa nje nifungulie basi kuna mzigo wako nimeagizwa nilete hapa" alisema nikashtuka eti amekaa muda, sasa si ndo kasikia madudu yote, ilibidi nimuambie Siraji aingie chooni haraka ili niongee na Ibra Nilifunga khanga na kwenda kumfungulia, nikakuta kafuatana na mwenzake halafu wananitazama sana usoni. "karibuni ndani" nilisema lakini kiukweli sikutamani waingie ndani "Nooope hatuingii tutawasiliana, maana tumechelewa sana tumekaa hapa nje kama dk 15 hivi tunaomba tuondoke" alisema nikaogopa nikijua lazima yote yamfikie Seba "Jamani shem, mlijua nipo ndani?" niliuliza "Ndio tulijua" alisema huku akitabasamu na kumgeukia mwenzake "Bwana shem kwa heri" aliongea na kuondoka mazima, nikajua lazima ameelewa mchezo na habari zinaweza mfikia seba, nilibaki njia panda...... ITAENDELEA
👍 1

Comments