UFUNDI KITANDANI❤️👙😍
February 3, 2025 at 08:50 PM
VUA CHUPI NIKUPE AJIRA 17🔞
Halima alipofika kileleni basi sehemu zake ziliacha kuendelea kutengeneza ute, hivyo kadri Jonas alivyochochea ndivyo palipozidi kuwa pakavu. Alijikuta anamfanya binti aanze kulalamika
"Kojoa my....kojoa basi?" alisema Halima
Ndani ya dakika kumi nzima Jonas alikuwa hajafika, ikabidi sasa Halima atumie nguvu ya Ziada kumshawishi, hadi Jonas akafika.
"Pole mume wangu" alisema binti na kumfuta Jasho mwamba
"Asante, nimeinjoy sana"
***
Baadaye mida ya saa 7 usiku binti alilalamika anataka kurudi kwao,
"Kaoge basi nikupeleke" alisema Jonas
"Sawa bafuni wapi?"
Ilibidi Jonas amchukue binti akampeleka hadi bafuni akaoga na kurudi akavaa.
Wanataka kutoka akamkumbushac "Vipi ile simu sasa?" aliuliza Halima
"Oooh shit....nilikuwa nishasahau" alisema Jonas na kurudi sebuleni kuna kabati
Alifungua droo za kabati kweli kulikuwa na simu aina ya Oppo, akaichukua na kujaribu kuiwasha ikawaka fresh, akampatia
Halima hakuamini "Baby" alimuita kimahaba "Asante" alisema Halima huku akimkumbatia na kumbusu
"Usijali, nakupenda sana"
"Nakupenda pia...."
Walitoka nje wakapanda gari na kuondoka mpaka mianzini.
"Password ni jehova ya herufi ndogo"
"Jehova?"
"Yes" alisema Jonas
"Mmmmh umeokoka ee?"
"Hahahaaa.. Yes na huwa sitendi dhambi" alisema kijana huyo
"Hahaha nyoo eti utendi dhambi, akati hapa nasikia ikiwaka moto kwa ulichonitendea"
"Hahaha"
"Haya bana asante tutachat"
"Sawa"
Halima alishuka kwenye gari akiwa na furaha sana. Alitembea kwa mwendo wa haraka haraka kueleka nyumbani.
Jonas alimtazama sana Halima, alitumia muda mrefu kumuangalia halafu akajiuliza
"Kwanini nimefanya hivi? Huyu binti anaonekana ana malengo yake mazuri, sasa kama nina ugonjwa si nimempa jamani?" alijuta kwa alichokifanya lakini hakuwa na chaguo tena.
Aligeuza gari kisha akarudi nyumbani kwao.
Usiku ule Halima hakulala, alikuwa amepewa simu nzuri, hakuwahi miliki simu nzuri kama ile kabla, aliwaza mengi
"Yaani yule nataka nimfanye wa kwangu kabisa ndo atanitoa kimaisha kabisa" alijisemea kwa furaha halafu akarudi online tena
Akamtumia ujumbe wa shukurani Jonas
**
ITAENDELEA
JE YEYE NA JONAS WATAFIKA WAPI? USIKOSE
VUA CHUPI NIKUPE AJIRA 18 🔞
Asubuhi ilipofika Jonas alikuwa amechoka sana, ni siku tatu mfululizo alikuwa akilala na wanawake, alikuwa amechoka sana siku ile. Hakuwa na namna ilibidi aende kazini
*
Upande mwingine, Sada alikuwa amelala anawaza ule ushauri wa Halima, hakujua kabisa kauli kwamba alishaliwa mwenzake na simu amehongwa
Alimpigia simu msichana mwingine ambaye walikuwa wamebadilishana namba siku ile ya interview ya kwanza
"Hallow Esta" alisema
"Nambie dear" alisema Esta
"Hivi wamekutafuta kule kwenye kampuni tuliofanya interview?" aliuliza Sada
"Hapana.....hawajanitafuta vipi wewe umetafutwa?"
"nimetafutwa ila yule alitetufanyia interview ni muhuni eti anasema tukutane"
"Haaah! ili nini?"
"Eti sijafaulu interview ili anisaidie nipate kazi pale"
"Mh huyo anakutaka shogaa"
"Mh mi mwenyewe nimehisi hivyo hivyo....ila hawezi kunipata" alisema binti
"Kwani kama anakutaka si umpe tu upate kazi maana itakuwa amekupenda"
"Hahaa hapana mi bora tu nikose kazi ila hivyo mimi siwezi mpa....mbaya zaidi alimtafuta na rafiki yangu anataka waonane, ina maana huyo ni tamaa tu" alisema Sada"
"Mh basi ni malaya.....embu ntumie no yake" alisema Esta, yeye alionekana ana usongo
"Mh namba? Nshafutilia mbali" alisema Sada
"Mh haya bana"
Waliagana na kila mmoja aliendelea na mishe zake.
Baadaye Sada alijiunga akaingia Whatsapp alichoshangaa ni kumuona Halima akiwa amepost hadhi yake (Status).
"Mh shoga angu umeshanunua simu" aliuliza Sada kwa wivu
"Hahaah acha tu shoga, nakuja kukutembelea" alisema Halima kwa sifa, aliamini ni muda wa kula maisha, alikuwa ameshampata mmiliki wa kampuni. Alijiachia sana
Baadaye alimtembelea
Sada alipoona ile simu alishangaa
"Umeipata wapi shoga?" aliuliza Sada, Halima alitabasamu kwa sifa bila kujibu
Sada alipoitoa password akasoma ndani alikutana ujumbe uliomshtu sana
Ulikuwa hivi "JONAS NIMEINJOY SANA PENZI LAKO, NASHUKURU KWA KUNIPA SIMU, NAKUAHIDI NTALITUNZA PENZI LAKO MUME WANGU"
Sada alishangaa baada ya kuona ule ujumbe akajua mwenzake ashaliwa.
"HALIMA!!!!!" aliita Sada kwa mshangao