UFUNDI KITANDANI❤️👙😍
UFUNDI KITANDANI❤️👙😍
February 6, 2025 at 10:24 AM
Mambo ambayo WANAUME wengi huona uzito kuyafanya na ILHALI ni sehemu ya MAPENZI. @Kuomba RADHI wanapokosea. @Kumsaidia MKEWE hata kama anaumwa. @Kufanya MZAHA na matani na MKEWE(URAFIKI) @Kumsikiliza na KUMSHAURI @ KUJALI jitihada zake hata kama ni NDOGO. @Kumsaidia hata kupika. Brothers, huenda nisiwe sahihi sana ila niwahakikishie tuu kwamba haya mambo niliyoyataja hapo juu ☝️yana mchango mkubwa sana kwenye kuchochea na kuongeza MAPENZI,m hivyo niwasihi tujitahidi kuondokana na DHANA potofu kwamba huku ni KUWEZWA LIMBWATA
😮 1

Comments