
Barama Komaji
February 15, 2025 at 02:48 AM
*BADO SIKU 29 KUELEKEA *
Mashindano Makubwa zaidi ya Mabara yote Ulimwenguni. Yanayoandaliwa na Al-Hikma Foundation chini ya usimamizi wa Sheikh Nurdeen Kishk. Yatafanyika 16/03/2025 Uwanja wa Mkapa ndani ya *RAMADHAN * Dar es Salaam Tanzania 🇹🇿
*Qur’aan ima ikunyanyue au Ikubwage, Twendeni ikatunyanyueee *
*NAOMBA USAMBAZE*👏