
Barama Komaji
February 15, 2025 at 10:42 AM
ungana nasi @alhikmaalumni katika Hafla ya Chakula cha Iftar, yenye lengo la harambee itakayowezesha upatikanaji wa iftar kwa jamii zenye hali duni; itakayofanyika siku ya Jumamosi, tarehe 08 mwezi Machi 2025, kuanzia saa 9 alasiri hadi saa 1 usiku, Pale Alhikma Nursery school, Temeke, Dar es Salaam, Jirani na Mskiti wa Tungi.
.
Kiingilio ni shilingi elfu kumi (Tzs 10,000/=) kwa tiketi za kawaida
Na elfu thelathini (Tzs 30,000/=) kwa tiketi za VIP.
.
Nunua tiketi yako mapema katika:
👉 Ofisi za wakuu wa shule za Al-Hikma
👉 Kariakoo:
▪ Bin Makungu Traders (Mtaa wa Livingstone & Pemba)
▪ Moyas General Trading Company Ltd (Mtaa wa Kiungani & Kongo)
▪ Al – kapry Auto spares (Mtaa shaurimoyo & Songea)
.
Au wasiliana nasi kupitia WhatsApp namba 0745-048-583