Barama Komaji
Barama Komaji
March 1, 2025 at 08:12 AM
SHEIKH MUHARAM MWAITA MKURUGENZI AFRIKA TV 2 SWAHILI TANZANIA 🇹🇿 Anawaalika katika Mashindano Makubwa zaidi ya Qur’aan Tukufu ya Mabara Yote Ulimwenguni, yanayoandaliwa na Al-Hikma Foundation chini ya usimamizi wa @SheikhNurdeenKishk . Yatafanyika tarehe 16/03/2025 Uwanja wa Mkapa *Ndani ya Ramadhaan* Dar es Salaam Tanzania . *QUR’AAN IMA IKUNYANYUE AU IKUBWAGE, TWENDENI IKATUNYANYUEEE* . *NAOMBA USAMBAZE* 👏 @barama_komaji

Comments