
GLOBIFY
June 8, 2025 at 08:39 AM
*🟠 GLOBIFY CHAUMMA 🟠*
Chama Cha Ukombozi Wa Umma, Sauti Ya Wanyonge, Tumaini La Wengi!
🍛 Ubwabwa Ndio Sera Yetu, Tunasimamia Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania. Mtu Aliyeshiba Hawezi Kununuliwa, Hawezi Kudanganywa, Na Atapiga Kura Kwa Uelewa, Ujasiri Na Ustawi.
*🗳️ CHAUMMA* Inasimama Kwa Ajili Ya Haki, Utu, Usawa Na Uchumi Unaogusa Kila Mtu.
🤝 Tunaamini Katika Taifa Lenye Fursa Sawa, Lisiloachwa Nyuma.
🌱 Tunapigania Maendeleo Yenye Mashiko, Si Maneno Tu!
🔥 Hiki Ndicho Chama Cha Watu Wanaojua Wanachotaka – Sera Zinazogusa Tumbo Na Fikra!
*🔗 JIUNGE SASA:*
https://chat.whatsapp.com/ERZs2PXqPNSKASQbTU8sCM
*CHAUMMA, Mtu Kwanza, Tumbo Lijazwe, Taifa Lijengwe!*
*GLOBIFY*