UFUNDI KITANDANI❤️👙😍
UFUNDI KITANDANI❤️👙😍
May 22, 2025 at 06:46 PM
*FANYA HAYA KWA MUME WAKO KUJENGA NDOA YENYE AMANI::* *MOJA✍🏽* ```Kaa Kimya Pale Anapokuwa Na Hasira Mume Wako, Unaweza Ukaenda Kumuomba Msamaha Na Kumueleza Kwanini Ulimkosea Pale Hasira Zinapokuwa Zimemuisha``` *MBILI✍🏽* ```Kuwa Na Haraka Ya Kumuomba Msamaha Mume Wako, Pale Unapo kosea Sisitiza Juu Ya Msamaha Na M-busu Pale Anapo kusamehe``` *TATU✍🏽* ```Ongelea Mazuri Yake Na Yeye Kabla Ndugu, Jamaa Na Marafiki Hawajafanya Hivyo, Na Usiruhusu Mtu Mwingine Awe Wa Kwanza Kumsifia Mume Wako``` *NNE✍🏽* Waheshimu Wazazi Wa Mume Wako, Kamwe Usifanye Au Usizungumze Jambo Lolote Ambalo Litaashiria Kuwakosea Heshima Wazazi Wake. *TANO✍🏽* ```Msisitize Mume Wako Kuhusu Kwenda Kuwasalimia Wazazi Wake, Na Kuwapelekea Chochote Kitu Na Afanye Hivyo Hata Kwa Wazazi Wako Pia``` *SITA✍🏽* ```Msuprise Mume Wako Kwa Chakula Akipendacho, Hasa Kipindi Kile Anapo kuwa Na Msongo Wa Mawazo, Na Kamwe Usimcheleweshee Chakula Chake``` *SABA✍🏽* ```Mkaribishe Mume Wako Kwa Kumkumbatia Pindi Anapo toka Kwenye Mihangaiko Yake, Na Msaidie Mizigo Aliyo kuja Nayo Au Hata Begi```
❤️ 👍 7

Comments