
UFUNDI KITANDANI❤️👙😍
May 22, 2025 at 06:46 PM
*FANYA HAYA KWA MUME WAKO KUJENGA NDOA YENYE AMANI::*
*MOJA✍🏽*
```Kaa Kimya Pale Anapokuwa Na Hasira Mume Wako, Unaweza Ukaenda Kumuomba Msamaha Na Kumueleza Kwanini Ulimkosea Pale Hasira Zinapokuwa Zimemuisha```
*MBILI✍🏽*
```Kuwa Na Haraka Ya Kumuomba Msamaha Mume Wako, Pale Unapo kosea Sisitiza Juu Ya Msamaha Na M-busu Pale Anapo kusamehe```
*TATU✍🏽*
```Ongelea Mazuri Yake Na Yeye Kabla Ndugu, Jamaa Na Marafiki Hawajafanya Hivyo, Na Usiruhusu Mtu Mwingine Awe Wa Kwanza Kumsifia Mume Wako```
*NNE✍🏽*
Waheshimu Wazazi Wa Mume Wako, Kamwe Usifanye Au Usizungumze Jambo Lolote Ambalo Litaashiria Kuwakosea Heshima Wazazi Wake.
*TANO✍🏽*
```Msisitize Mume Wako Kuhusu Kwenda Kuwasalimia Wazazi Wake, Na Kuwapelekea Chochote Kitu Na Afanye Hivyo Hata Kwa Wazazi Wako Pia```
*SITA✍🏽*
```Msuprise Mume Wako Kwa Chakula Akipendacho, Hasa Kipindi Kile Anapo kuwa Na Msongo Wa Mawazo, Na Kamwe Usimcheleweshee Chakula Chake```
*SABA✍🏽*
```Mkaribishe Mume Wako Kwa Kumkumbatia Pindi Anapo toka Kwenye Mihangaiko Yake, Na Msaidie Mizigo Aliyo kuja Nayo Au Hata Begi```
❤️
👍
7