MKEKA wa LEO 🎯⚽
June 3, 2025 at 02:46 PM
*🇿🇦⚽️ SOUTH AFRICA vs MOZAMBIQUE 🇲🇿 – Mechi ya Ufunguzi ya COSAFA Cup!*
📅 _Jumatano, Juni 4, 2025_
🕗 _Saa 11:00 AM (EAT)_
🏟️ _Toyota Stadium, Bloemfontein_
━━━━━━━━━━
*🇿🇦 SOUTH AFRICA*
✅ Wameshinda mechi 4 kati ya 5 zilizopita
🏠 Hawajapoteza mechi ya nyumbani kwa takriban miaka 2
⚽ Ushindi wa 2-0 dhidi ya Benin katika mechi ya mwisho
> Wanatumia kikosi cha wachezaji wa ndani chini ya kocha Vela Khumalo
*🇲🇿 MOZAMBIQUE*
📉 Kipigo cha 5-1 dhidi ya Algeria katika mechi ya mwisho
⚽ Wameshinda mechi 1 kati ya 6 zilizopita
> Wanategemea mchezaji wa Kaizer Chiefs, Edmilson Dove, kuimarisha safu ya ulinzi
━━━━━━━━━━
*🧾 ODDS:*
🇿🇦 South Africa: 1.66
⚪ Sare: 3.90
🇲🇿 Mozambique: 5.00
━━━━━━━━━━
🎯 *✅ UBASHIRI WETU (PREDICTION):*
*South Africa kushinda kwa tofauti ya mabao zaidi ya 1.5 ⚽⚽ @ 1.66*
> Kwa form bora na rekodi nzuri ya nyumbani, Bafana Bafana wana nafasi kubwa ya ushindi mkubwa!
😢
1