Tume ya Madini Tanzania

Tume ya Madini Tanzania

5.5K subscribers

Verified Channel
Tume ya Madini Tanzania
Tume ya Madini Tanzania
June 11, 2025 at 08:21 AM
Wizara ya Madini Tume ya Madini Jukwaa la Nne la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania Katika Sekta ya Madini (LCCF 2025) Kauli mbiu: Ongezeko la Ushirikishwaji wa Watanzania katika sekta ya madini: Chachu ya Ukuaji wa Uchumi Tanzania. *Kushiriki: Tafadhali jisajili kupitia, http://lcforum.tumemadini.go.tz* Mawasiliano: localcontent @tumemadini.go.tz/Simu 0658050500 Eneo: Malaika Beach Resort Hotel, Jijini Mwanza Tarehe: Juni 16 - 18, 2025

Comments