
Exim Bank Tanzania
June 5, 2025 at 02:31 PM
Changia Damu, Okoa Maisha – Ijumaa hii!
Tunawaalika Watanzania wote kushiriki katika zoezi la uchangiaji damu SIKU: Ijumaa, tarehe 6 Juni,
MUDA: Kuanzia saa 3:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni.
Zoezi hili litafanyika katika mikoa mbalimbali nchini:
📍 Dar es Salaam – Exim Bank Tower, Ghana Avenue & Kaburi Moja (Clocktower)
📍 Kahama – Tawi la Exim Bank, Soko la Wakulima
📍 Dodoma – VETA & Kizota
📍 Mtwara – Exim Bank Mtwara Branch, Agha Khan Road
📍 Mbeya – Exim Bank Mbeya Branch, Mwanjelwa
Uchangiaji huu ni sehemu ya mpango wetu wa uwajibikaji kwa jamii kupitia Exim Cares, kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS).
🩸 Changia damu leo, okoa maisha kesho.
