
Hussein Ali Mwinyi
June 2, 2025 at 03:41 PM
Nimekutana na Balozi Mdogo mpya wa China, Mhe. Li Quanghua, aliyefika Ikulu Zanzibar leo tarehe 02 Juni 2025, kwa ajili ya kujitambulisha rasmi pamoja na ujumbe wake.
🙏
👍
❤️
🇹🇿
7