RADIO NUUR FM
RADIO NUUR FM
June 9, 2025 at 10:33 AM
Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakaatuh! Alhamdulillah tumepata Mgeni mkubwa; *SHEIKH YUSUF ABDI* kutoka nchini Kenya 🇰🇪 Mgeni wetu *LEO* Jumatatu (9 June. 2025) atatoa MUHADHARA baada ya Maghrib *MASJID AS-SALAAM* MADA: *"NI WAMOJA, LICHA YA IKHTILAF ZETU"* Tafadhali tujitahidi sana kuhudhuria muhadhara huu, mada hii ni muhimu sana katika maisha yetu ya Waislamu wa sasa. Na pia tusisahau kuwajulisha na kuwahimiza na wengine in sha ALLAH. Shukran ! Barakallah Fiikum !!!
Image from RADIO NUUR FM: Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakaatuh!  Alhamdulillah tumepata M...
❤️ 2

Comments