
Citizen Digital
June 12, 2025 at 07:54 AM
Je, mswada wa fedha wa 2025/2026 ni wa kumfaidi ama kumkandamiza mwananchi?
Jiunge nasi leo kuanzia 8:00 PM tutakapokuwa tukijadili zaidi pamoja na Dr Mumo Muinde, David Kingoo na Mheshimiwa Gathoni Wamuchomba
Usikose!
#financebill2025
#radionumberone

❤️
👍
😂
🙏
13