BashBuzz
BashBuzz
June 13, 2025 at 04:22 PM
Idara ya mahakama kaunti ya Lamu imetamaushwa na ongezeko la kesi zinazohusu vijana wanaotumia madawa ya kulevya visiwani, vijana wenye umri mdogo na hata wanafunzi wa shule wakifikishwa mahakamani.
Image from BashBuzz: Idara ya mahakama kaunti ya Lamu imetamaushwa na ongezeko la kesi zina...

Comments