BashBuzz
BashBuzz
June 13, 2025 at 06:52 PM
*AJALI MBAYA YATOKEA CHUMANI* Ajali mbaya imefanyika eneo la Kararacha-Chumani. Ajali hiyo imehusisha gari aina ya Tx na pikipiki iliyokuwa imebeba watu wawili. Kulingana na walioshuhudia ni kwamba abiria mmoja amefariki papo hapo huku wengine wakikimbizwa hospitali.
Image from BashBuzz: *AJALI MBAYA YATOKEA CHUMANI* Ajali mbaya imefanyika eneo la Kararacha...

Comments