BashBuzz
BashBuzz
June 14, 2025 at 04:50 AM
*KAUNTI MOMBASA* Waziri wa elimu Mombasa Dkt. Mbwarali Kame amesisitiza kuwa wataendelea kupinga biashara ya muguka, akitaja athari zake kwa afya ya vijana, ongezeko la uraibu, kudorora kwa maadili na utendakazi.
Image from BashBuzz: *KAUNTI MOMBASA* Waziri wa elimu Mombasa Dkt. Mbwarali Kame amesisitiz...

Comments