Prime Minister Tanzania
June 3, 2025 at 03:46 PM
*WAZIRI MKUU AHANI MSIBA WA MDOGO WA WAZIRI LUKUVI*
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Juni 3, 2023 amehani msiba wa marehemu Mtwa Xaviery Lukuvi ambaye ni mdogo wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,Bunge na Uratibu , William Lukuvi (kulia), nyumbani kwa marehemu, Mbezi Beach jijini Dar es salaam.
👍
❤️
🙏
7