LIBRARY OF BOOKS📚📚
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                May 23, 2025 at 03:01 PM
                               
                            
                        
                            Kesho Bhanaa ni siku ya furah sanaaa na ni siku iliyo Barikiwa kuwa na matukio adimu sana dodoma kama upo dodoma karbu snaaa tujifunze mengi siku ya kesho st john.. 
hichi kitabu kitakuepo Tukutane BASH  mapema Sanaa
Katika ibada na uzinduzi wa kitabu hiki...
Let's learn about life situation...
_Title ya mwandishi inaashiria maombi juu ya familia/uzao zetu.._
Swali linakuja ndani ya kitabu mwandishi ametuongoza kwa njia gani tutakazo pitia katka maombi yetu hadi sasa ni fumbo kwetu ila kufikia kesho jioni basi tutakuwa  na majibu ya maswali yote unayo jiuliza na kufikia juu ya kitabu hiki... 
_Usipange kukosa na kama upo mkoani ukihitaji hard copy usisite kutuma ujumbe wako sisi ni TZ na TZ ni kama jamii ya watu wanao ishi pamoja popote ulipo basi nasi twafika 👏_
Anyway Tukutane BASH  tuka jifunze nakupata nakala ya kitabu hiki
Binafus nitakuepo, kama upo tiyari twende tuka support kaz ya mwandishi mwenzetu toka ndani ya group letu pendwa la *library of books*📚
Ahsanten 👏😌