MACADAMS JOB OPPORTUNITIES
MACADAMS JOB OPPORTUNITIES
June 15, 2025 at 06:23 AM
🔹 1. Nurse (Muuguzi/Muuguzi Msaidizi) Vigezo: • Awe na cheti au diploma ya uuguzi • Awe na usajili halali kutoka TNMC • Uzoefu wa kazi utapewa kipaumbele • Awe na maadili na kujituma 🔹 2. Pharmacy (Mfamasia/Msaidizi wa Dawa) Vigezo: • Awe na cheti au diploma ya famasia • Awe na usajili wa baraza husika (PCPB) • Uelewa wa utoaji sahihi wa dawa • Awe makini na mwenye nidhamu 🔹 3. Dereva wa Ambulance Vigezo: • Leseni daraja C au zaidi (hai) • Uzoefu wa kuendesha ambulance au magari ya wagonjwa • Awe na elimu ya msingi au sekondari • Kufahamu ramsa za huduma ya kwanza ni faida *Eneo la kazi ni Kigamboni* Maombi Yatumwe Kupitia WhatsApp: 📱 0616 348 095 (Tuma jina, nafasi unayoomba, na nakala ya vyeti husika)
🙏 3

Comments