MACADAMS JOB OPPORTUNITIES
MACADAMS JOB OPPORTUNITIES
June 16, 2025 at 08:19 AM
Anahitajika binti wa kazi za ndani. Kufanya shughuli za nyumbani Kama vile, kupika na usafi. *Vigezo* 1. Awe mkristo 2. Awe na miaka kuanzia 18-25 3. Awe na upendo na uaminifu 4. Awe msafi. 5. Awe anaishi maeneo ya Tegeta *Mshahara* . Atalipwa 70,000/= kwa mwezi na atapewa na nauli ya kwenda na kurudi nyumbani. Usipige simu, tuma message 0767906351

Comments