MACADAMS JOB OPPORTUNITIES
MACADAMS JOB OPPORTUNITIES
June 18, 2025 at 07:15 AM
NAFASI: tunahitaji walinzi VIGEZO: Awe mtanzania Mkazi wa Dar es salaam Umri wa kuanzia miaka 22 na kuendelea Awe na wadhami wawili Anaeweza kufanya kazi maeneo haya.. (Sinza, ubungo, tabata, urafiki, mabibo, mwananyamala, mikocheni, kinondoni, kigamboni, Mbezi beach, Kawe) Mishahara kuanzia 130,000 na kuendelea, inategemea na sehemu atakayolinda. Aliye tayari kufanya kazi mawasiliano ni haya, atutafute kwa njia ya kawaida na sio WhatsApp 0696971904 au 0745762305
😂 😢 🙏 7

Comments