Tech & Media Convergency (TMC)
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 13, 2025 at 06:11 AM
                               
                            
                        
                            Je, Mifumo ya Kidijiti Inajitosheleza katika kutoa Huduma kwa Umma?
Space hii itaongozwa na Robert Majige, TMC, pamoja na wazungumzaji wengine:
🎙️ Jacqueline Shuma - Mtaalamu wa Mawasiliano
🎙️ Anwar Said - Kiongozi wa Teknolojia na Uimarishaji Uwezo, TMC
🎙️ Davis Komba - Mwanasheria
🗓️ Ijumaa, 13/06/2025 | ⏰ Saa 12:30 - 2:00 Usiku
🔗 Jiunge nasi moja kwa moja hapa 👉 
https://twitter.com/i/spaces/1ypKdZOmkeLJW
#tdc2025 #tanzaniadigitalcollaboration #tmc
                        
                    
                    
                    
                    
                    
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                        
                                            👏
                                        
                                    
                                    
                                        2