
Jance Media📡 🔵
June 14, 2025 at 10:03 AM
*🌸 ‼️LISHE BORA KWA MAMA MJAMZITO – TRIMESTER KWA TRIMESTER‼️ 🌸*
Je, wajua kuwa kila hatua ya ujauzito ina mahitaji yake ya lishe? Usile tu ovyo – kula kwa ajili ya uhai wa mtoto!
✳️ TRIMESTER NI NINI?
Ujauzito hugawanyika katika vipindi vitatu (3) vinavyoitwa trimesters:
Trimester ya Kwanza (Wiki 1 - 12)
Trimester ya Pili (Wiki 13 - 26)
Trimester ya Tatu (Wiki 27 - 40)
Kila hatua ina mahitaji maalum ya virutubisho kwa ajili ya ukuaji salama wa mtoto tumboni 🤰💕
*🔹 TRIMESTER YA KWANZA (Wiki 1–12)*
👉 Mtoto anaanza kutengenezwa: moyo, ubongo, uti wa mgongo
✅ LISHE MUHIMU:
✔️ Folic Acid – kusaidia ukuaji wa ubongo
✔️ Iron – kuzuia upungufu wa damu
✔️ Matunda yenye Vitamin C – kusaidia kufyonzwa kwa madini
❌ Epuka vyakula vyenye harufu kali kama vinaongeza kichefuchefu
*🔹 TRIMESTER YA PILI (Wiki 13–26)*
👉 Mtoto anaanza kuzunguka, mifupa inatengenezwa
✅ LISHE MUHIMU:
✔️ Calcium – kujenga mifupa na meno ya mtoto
✔️ Protein – kwa ukuaji wa misuli na viungo
✔️ Omega 3 – kusaidia akili ya mtoto (kupatikana kwenye samaki, karanga)
❌ Epuka vinywaji vyenye caffeine kama kahawa/soda nyingi
*🔹 TRIMESTER YA TATU (Wiki 27–40)*
👉 Mtoto ananenepa, mapafu na kinga vinaimarika
✅ LISHE MUHIMU:
✔️ Wanga wa kutosha – kumpa mama nguvu
✔️ Fiber – kusaidia usagaji chakula (kuepuka kuvimbiwa)
✔️ Iron & Vitamin D – kuhakikisha mtoto hapati upungufu wa damu wala rickets
❌ Epuka vyakula vya mafuta mengi – huchangia kuongeza uzito kupita kiasi
*🔔 USHAURI WA KITAALAMU:*
🔹 Kunywa maji ya kutosha (glasi 8–10 kwa siku)
🔹 Kula mara 5 kwa siku kwa sehemu ndogo ndogo
🔹 Hakikisha unatakiwa na daktari/mtaalamu kuhusu virutubisho vya ziada
🌟 Mama, lishe yako ni msingi wa afya ya mtoto wako!
Ukipata ushauri wa lishe, mimba itakuwa salama na mtoto atazaliwa mwenye afya njema!
📞 Kwa ushauri wa kitaalamu na virutubisho salama vya mjamzito:
Wasiliana nami kupitia WhatsApp: 0612766711
🌱Pata tiba – Afya salama kwa mama na mtoto! 🌱

👍
😢
🙏
3