Jance  Media📡  🔵
Jance Media📡 🔵
June 14, 2025 at 10:15 AM
Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania haitapangua ratiba za mechi nyingine za Ligi Kuu ya NBC. Timu zote zitamaliza Ligi Juni 22 isipokuwa Simba na Yanga ambao watacheza mechi yao ya mwisho Juni 25. Mechi za Simba na Yanga za Ligi Kuu ya NBC kabla ya Dabi Ya Kariakoo Juni 25: 🗓️ Juni 18 Tz Prisons 🆚 Yanga - Mbeya Kengold 🆚 Simba - Tabora 🗓️ Juni 22 Yanga 🆚 Dodoma Jiji - Dar Simba 🆚 Kagera Sugar - Dar Msimamo wa Ligi 1️⃣ Yanga - Pts 73 (GD 61) 2️⃣ Simba - Pts 72 (GD 52)
Image from Jance  Media📡  🔵: Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania haitapangua ratiba za mechi nyingine za L...
😢 ❤️ 3

Comments