Ajiraforum
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                May 31, 2025 at 09:11 PM
                               
                            
                        
                            Usijali kuhusu wale wanaokuhukumu kwa makosa ya jana. Hakikisha tu hurudii makosa hayo leo. Kesho waache washangae.. *Sahau kosa, kumbuka funzo.* ❤️👍🏻
> Nawatakia Usiku mwema Fam❤️
                        
                    
                    
                    
                    
                    
                                    
                                        
                                            ❤️
                                        
                                    
                                        
                                            🙏
                                        
                                    
                                        
                                            ❤
                                        
                                    
                                    
                                        7