
THE ISLAMIC FOUNDATION
June 17, 2025 at 01:41 PM
🕌 *KONGAMANO LA KIDA’AWA AFRIKA MASHARIKI 2025*
📍 Uwanja wa Mirongo, Mwanza – Tanzania
🗓️ 27, 28 & 29 Juni 2025
🎯 Kauli mbiu: “Amani, Imani na Mshikamano”
Nchi zote za Afrika Mashariki zikiwa pamoja katika kuimarisha Da’awa, mshikamano wa Kiislamu, na kujenga jamii yenye maadili.
🇹🇿 🇰🇪 🇺🇬 🇧🇮 🇷🇼
🎥 Kongamano hili kubwa litarushwa mubashara kupitia vyombo vya habari zaidi ya 20 – likiwemo Mahaasin TV, tvImaan, Africa TV, Ihsaan, Al-Haajar TV na vingine vingi.
💡 Huu ni mwaliko wa kila Muislamu — kijana, mzazi, mpenda amani.
👉 Usikose kuwa sehemu ya tukio hili la kihistoria.
#kongamanolakidaawa #mwanza2025 #daawaafricamashariki #amaniimaninamshikamano #islamicunity #imaaandigital
