TUKO News Daily
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                May 31, 2025 at 10:22 AM
                               
                            
                        
                            🤔 "Show us what you did for the people of Kenya for the time you were deputy president," Kibwezi West MP Mwengi Mutuse has challenged Rigathi Gachagua. 
"Kazi yake (Gachagua) ilikuwa ni kufukuza  makabila zingine zisione rais na kunyang'anya watu haki na mali yao," Mutuse claimed.
"Mkiona Kalonzo, mmuulize ni wapi aliweka hata kilomita moja ya lami akitaka urais wa Kenya," the MP added. 
Photos: Kalonzo Musyoka, Mwengi Mutuse and Rigathi Gachagua (Facebook) 
#tukonews #kenya #mutuse #gachagua #kalonzo
                        
                    
                    
                    
                        
                        
                                    
                                        
                                            🐖
                                        
                                    
                                    
                                        1