FOOTBALL ZONE ⚽🏈
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 21, 2025 at 08:10 AM
                               
                            
                        
                            🚨🚨 | RASMI: Nuno Espírito Santo amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu na klabu ya Nottingham Forest. 🌳✍🏻
Kocha huyo sasa ataendelea kusalia Forest hadi mwaka 2028 – hatua kubwa ya kuimarisha kikosi chao! 💪🔥