FOOTBALL ZONE ⚽🏈
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 21, 2025 at 09:29 AM
                               
                            
                        
                            Nimepitapita Mtandaoni huko naona waandishi wengi upcoming wanatumia nguvu kubwa kuwaaminisha watu kuwa *Pacome ZouZoua* anastahili kuwa *MVP* wa ligi kuu ya *NBC🇹🇿* msimu huu mbele ya *Jean Charles Ahoua.*
Ni mtazamo wao nami siwezi kuwapinga lakini guys tusisahau kuwa mpira ni numbers na sio mapenzi ya watu fulani, kwa number za *Jean Charles Ahoua🇨🇮*  zinatosha kuwa anastahili kuchukua tuzo hii ya *MVP* kwa msimu huu wa 2024/2025.
Kama itatokea tofauti na hapo tutajua kweli kwenye football kuna matokeo ya kikatili na upangaji wa matokeo, hii itakuwa ni njama za mpira wetu na duniani kote kama inavyofanyika kwenye *Ballon D'or.*
Hujma za hali ya juu hufanyika kitu ambacho sipendi kije kitokee kwenye mpira wetu.
                        
                    
                    
                    
                        
                        
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                        
                                            🖕
                                        
                                    
                                    
                                        3