BashBuzz
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 21, 2025 at 12:17 PM
                               
                            
                        
                            Duru za kuaminika imearifu meza ya habari ya *_BashBuzz_* ya kuwa, mbunge wa Nyali, Mohamed Ali 'Jicho Pevu' sasa hivi anakutana na kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka Nairobi. 
Mohamed Jicho Pevu anapania kuwania wadhifa wa ugavana wa kaunti ya Mombasa akitarajiwa kuvaana na Gavana Abdulswamad Shariff Nassir.
*BashBuzz: First, Fast, Facts*
                        
                    
                    
                    
                        
                        
                                    
                                        
                                            💩
                                        
                                    
                                        
                                            😂
                                        
                                    
                                    
                                        2