BashBuzz
BashBuzz
June 22, 2025 at 12:45 PM
Chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kimewataka wanachama wake katika bunge la kaunti ya Kilifi kufika katika mkutano wa majadiliano hapo kesho katika makao makuu ya chama hicho Mombasa.
Image from BashBuzz: Chama cha Pamoja African Alliance (PAA) kimewataka wanachama wake kati...

Comments