Samawati Safari
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 22, 2025 at 11:28 AM
                               
                            
                        
                            Mwamba alivamia benki na kuondoka na kitita cha USD Million 18.9 bila Ya walinzi wala kamera Kumuona
Kisha akatokomea kusikojulikana na kuwaacha FBI wakiumiza vichwa kwa miaka Mitatu bila Mafanikio
Mwaba akaja kuchomeshwa na uzembe wa rafiki Yake. 
— THREAD 🧵🧵 ⬇️