Samawati Safari
Samawati Safari
June 22, 2025 at 11:28 AM
September 12 mwaka 1997 majira ya saa 3 usiku watu sita walivamia benk iliyofahamika kwa jina la Dunbar iliyopo marekan Los Angeles Na kufanikiwa kuondoka na kitita cha Usd million 18.9 bila ya kuacha ushahid wowote Hakika ni akili kubwa sna ilitumikana. Huwez amini ni akili ya mtu mmoja tu ndo iliyotumika kuchora mchoro wa tukio zima na mtu huyo aliitwa Allen pace III Uku akishirikian na wenzake watano ila yeye ndo alikuwa mastermind wa mchongo wote Allen pace yeye alikuwa akifanya kaz Dunbar kama mfanyakaz wa kawaida tu Na alikuwa akilipwa mshahara wa kawaida ambao uliweza kumpatia mahitaji yake ya kila siku Alifanya kazi kwa mda mrefu mpaka kampun ikamuamin na kuamua kumpandisha cheo Na kuwa mkaguzi mkuu wa usalama katika jiji la Carfolnia kuhakikisha pesa zote zinasafirishwa kwa usalama
Image from Samawati Safari: September 12 mwaka 1997 majira ya saa 3 usiku watu sita walivamia benk...

Comments