Samawati Safari
Samawati Safari
June 22, 2025 at 11:29 AM
Kwenye jengo hilo kulikuwa na kamera zinazomulika kila kona ya jengo pia limefungwa alarm ambayo itapiga kama kuna mtu ambaye hausik atawez kuingia ndan Na kuna askal waliotapakaa kwenye jengo zima Allen kwanza akaamua kuusoma mfumo mzima wa jengo hilo na hii haikumpa shida Kwenda sehemu yeyote ya jengo hilo kutokan na cheo alichokuwa nacho Mwamba alitumia miezi minne kuweza kukamilisha uchunguzi wake na kuweza kutambua vyema mfumo wa jengo hilo Baada ya uchunguzi sasa akajua aanzie wapi kuchora mchoro wake wa ujambazi
Image from Samawati Safari: Kwenye jengo hilo kulikuwa na kamera zinazomulika kila kona ya jengo p...

Comments