
TheChanzo
37.5K subscribers
Verified ChannelAbout TheChanzo
Habari, karibu kwenye channel yetu. The Chanzo ni chombo cha habari kilichojikita kwenye chambuzi za masuala mbalimbali ya kijamii, kiuchumi na siasa. Hatutoi tu habari, tunaeleza maana nyuma ya habari. Kama utapenda maudhui yetu usisite kukaribisha ndugu jamaa na marafiki. Lakini pia kufuatilia tovuti yetu. Kama una habari tutafute kupitia 0753815105. Maoni, Ripoti na Uchambuzi. Una habari? WhatsApp/Telegram 0753815105
Similar Channels
Swipe to see more
Posts

*#LIVE: ACT - Wazalendo Wanatangaza Usajili Mpya,Wasema Huu wa Sasa Ututikisa Nchi,Wamtaja Mwamba* https://www.youtube.com/live/Mm44ERvFx_s?si=CcHJvZWt4ydVTc4Y

*#LIVE: Bunge la Kumi na Mbili,Mkutano wa Kumi na Tisa,Kikao cha 40* https://www.youtube.com/live/jPpyZ0rKQcs?si=HV7P1HJTw-g-S4TQ

*Mzee wa Upako Asikitishwa na Kanisa la Gwajima Kufungwa: 'Wavumilieni Kama Mnavovumilia Katoliki'* https://youtu.be/hRKMj5kWdAA?si=q3p5b6qqCwOpoN5L

*Takribani nusu ya Watanzania walienda hospitali/vituo vya huduma za afya katika kipindi cha Julai 2024 hadi Machi 2025.*


*#LIVE: Heche Anafunguka Mazito ni Kuhusu Uamuzi wa Msajili Kuhusu CHADEMA* https://www.youtube.com/live/5PgwAPZODpo?si=cQV_Nq9_CX8xh9gg

*#LIVE: Rais Samia Akishiriki Harambee ya Ujenzi wa Kituo cha Watoto Wenye Mahitaji Maalum cha KKKT* https://www.youtube.com/live/fC4agnTFDmE?si=3kHOtfSw3L6mj71Z

*Chalamila Ampa Pole Rais Samia kwa Mashambulizi Mitandaoni: 'Adui Ashindwe na Alegee'* https://youtu.be/iP-6oOME0ZU?si=VFojrpNuHITfLrNn

*Mkuu wa Wilaya Ubungo Aelezea Sakata la Kufungwa Kanisa la Gwajima: 'Ule ni Ukaidi'* https://youtu.be/D3Z1VHsVBUk?si=2wuR02P1Ui-J2S75

*#LIVE: Maadhimisho ya Wiki ya AZAKI 2025 Arusha - Siku ya Nne* https://www.youtube.com/live/zxrpFwijaNo?si=pjhfByzS6c2me9mF

*Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Yaendelea Kujidhatiti Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali 2025/26* *Na Najjat Omar* Zanzibar. Mei 26, 2025, Baraza la Wakilishi liliipitisha bajeti ya Shilingi bilioni 864, fedha ambazo zinatarajiwa kwenda kwenye Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kwa ajili ya kutekeleza vipaumbele mbalimbali ikiwa ni sawa na takribani asilimia 17 ya bajeti ambayo Serikali imepanga kutumia. Baadhi ya vipaumbele vya bajeti hii kwa mwaka 2025/26 ni pamoja na kuimarisha miundombinu ya elimu, kuimarisha mafunzo ya ualimu na walimu waliopo kazini, kuongeza uwezo wa vyuo vya elimu ya juu, kukuza mafunzo ya amali na elimu mbadala pamoja na kuboresha mafunzo ya TEHAMA. Soma https://thechanzo.com/2025/06/04/serikali-ya-mapinduzi-ya-zanzibar-yaendelea-kujidhatiti-bajeti-ya-wizara-ya-elimu-na-mafunzo-ya-amali-2025-26/
