
๐ง๐๐๐๐๐๐๐ผ๐บ๐ ๐น๐บ๐๐๐๐ป๐บ๐
131 subscribers
About ๐ง๐๐๐๐๐๐๐ผ๐บ๐ ๐น๐บ๐๐๐๐ป๐บ๐
โWhen one plays the pipes in Zanzibar, they dance on the Lakes.โ _______________ Ngoma iliyopigwa Zanzibar, Wamaziwani waliicheza.. Huu ni msemo maarufu uliotumiwa na wanahistoria mbalimbali wa Afrika Mashariki katika kuzungumzia iliyokuwa Himaya ya Kibiashara ya Zanzibar. Mnamo karne ya 19 Zanzibar iliibuka kuwa kitovu cha biashara hapa Afrika ya mashariki ambapo bidhaa mashuhuri za wakati huo kama vile dhahabu, pembe za ndovu na viungwa vilisafirishwa kupitia Zanzibar, huku himaya hiyo ikitapakaa kote hadi Pwani ya El-Delgado. Jiunge nasi kupata mukhtasari wa historia adimu kuhusu Zanzibar kupitia machapisho ya picha, video na maandishi kila wiki. Tufuatilie pia facebook, X, tiktok, instagram: *Historical Zanzibar* YOUTUBE: HISTORIZAN TV
Similar Channels
Swipe to see more
Posts

https://youtu.be/ZIhLVvj-VP8?si=R4KO8V9A_fWf4xXI

*BREAKING:* Mzanzibari, nguli wa uchambuzi wa siasa za kikanda na za kimataifa, mwandishi wa zamani wa BBC lakini pia amekuwa mwandishi wa Gazeti la Africa Events. Mzee wetu Ahmed Rajab ameaga dunia leo hii huko London, Uingereza. Mola ampumzishe mahala pema peponi. Kwa taarifa zaidi tufuatilie kwenye mtandao wetu wa facebook: https://www.facebook.com/100078007380134/posts/624945413449033/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v


Ahmed Rajab, Mzanzibari aliyewahi kuwa mwandishi wa BBC afariki dunia https://historiczanzibar.wordpress.com/2025/02/05/ahmed-rajab-mzanzibari-aliyewahi-kuwa-mwandishi-wa-bbc-afariki-dunia/

*** Asili **


Mwaka 1937โMfalme wa tisa wa Zanzibar, Sultan Khalifa bin Harub akiwa ziarani nchini Uingereza.


*Zanzibar, 1936.*


ASILI


*JUM'AA KAREEM FROM ZANZIBAR!๐ผ*