Find WhatsApp Channels
Discover the best WhatsApp channels for news, entertainment, education and more. Our powerful search helps you find exactly what you're looking for.
Channels & Posts for #afdb
Posts
Eragon Online News | WhatsApp Channel
> Let's Forward this Post Everywhere ❕ *New Bulawayo dam deal to fight water crisis will leave citi...
TCN Boosts National Grid With Additional 5,910 MVA Transformer Capacity
The unit is currently executing projects funded by the World Bank, Agence Française de Développement...
News Updates 🇿🇼 #71
*_AFTERNOON NEWS | 19 JUNE 2025_* *_Join our Group:_* https://chat.whatsapp.com/LDUL4HF8Hyo4MaUUiGX...
Kenya climbs to fourth biggest recipient of AfDB p...
Kenya climbs to fourth biggest recipient of AfDB project funds More on: https://www.businessdailya...
Scatec Secures $479.1 Mln From AfDB, BII, And EBRD For Egypt’s Largest Integrated Solar And Battery Storage Project - Global Financial Digest
https://globalfinancialdigest.com/scatec-secures-479-1-mln-from-afdb-bii-and-ebrd-for-egypts-largest...
*Zimbabwe Reaffirms Dedication to National Develop...
*Zimbabwe Reaffirms Dedication to National Development With African Development Bank Partnership* ...
*Kenya climbs to fourth biggest recipient of AfDB ...
*Kenya climbs to fourth biggest recipient of AfDB project funds* New disclosures show that AfDB appr...
Kenya climbs to fourth biggest recipient of AfDB project funds
Kenya climbs to fourth biggest recipient of AfDB project funds https://www.businessdailyafrica.com...
Zimbabwe, AfDB seek stronger development co-operation - herald
Business Writer The Government reaffirmed its commitment to advancing national development prioriti...
(Continuation) The ILS installation is scheduled ...
(Continuation) The ILS installation is scheduled for completion within six months to support the ai...
Bank of Tanzania (BoT) on Instagram: "Bodi ya Wakurugenzi ya Benki Kuu ya Tanzania, ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye pia ni Gavana wa Benki Kuu, Bw. Emmanuel Tutuba, imefanya ziara katika mradi wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato, jijini Dodoma. Ziara hiyo imefanyika tarehe 17 Juni 2025, ambapo Msimamizi wa Mradi, Mhandisi Kedrick Chawe, alieleza kuwa mradi huo unatekelezwa chini ya usimamizi wa TANROADS kwa ufadhili wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB). Ujenzi huo unajumuisha njia ya kuruka na kutua ndege (runway), jengo la abiria, jengo la kuongozea ndege, pamoja na miundombinu mingine muhimu. Kukamilika kwa uwanja huu kunatarajiwa kuchochea ukuaji wa sekta ya utalii, kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, kurahisisha usafirishaji wa mizigo, na hivyo kuongeza mapato ya serikali. Aidha, mradi huu utaimarisha hadhi ya Dodoma kama mji mkuu na kuchangia kwa kiasi kikubwa ukuaji wa uchumi wa taifa."
Bodi ya Wakurugenzi ya Benki Kuu ya Tanzania, ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye pia ni Gavana wa ...
Bank of Tanzania (BoT) on Instagram: "Bodi ya Wakurugenzi ya Benki Kuu ya Tanzania, ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye pia ni Gavana wa Benki Kuu, Bw. Emmanuel Tutuba, imefanya ziara katika mradi wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato, jijini Dodoma. Ziara hiyo imefanyika tarehe 17 Juni 2025, ambapo Msimamizi wa Mradi, Mhandisi Kedrick Chawe, alieleza kuwa mradi huo unatekelezwa chini ya usimamizi wa TANROADS kwa ufadhili wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB). Ujenzi huo unajumuisha njia ya kuruka na kutua ndege (runway), jengo la abiria, jengo la kuongozea ndege, pamoja na miundombinu mingine muhimu. Kukamilika kwa uwanja huu kunatarajiwa kuchochea ukuaji wa sekta ya utalii, kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, kurahisisha usafirishaji wa mizigo, na hivyo kuongeza mapato ya serikali. Aidha, mradi huu utaimarisha hadhi ya Dodoma kama mji mkuu na kuchangia kwa kiasi kikubwa ukuaji wa uchumi wa taifa. Katika hatua nyingine, Bodi hiyo ilitembelea Kiwanda cha kutengeneza mvinyo wa zabibu cha CETAWICO kilichopo Hombolo, jijini Dodoma, ambako walipokelewa na Mkurugenzi wa Masuala ya Shirika, Bi. Katherine Mwimbe. Alieleza kuwa uwepo wa kiwanda hicho umeleta manufaa makubwa ya kiuchumi na kijamii, ikiwemo kuongeza kipato cha wakulima wadogo kwa kununua zabibu zao na kutoa ajira kwa zaidi ya watu 5,000 katika sekta ya kilimo kupitia zao la zabibu. Kiwanda cha CETAWICO kinachangia kutangaza bidhaa za Tanzania katika soko la kimataifa kupitia mauzo ya mvinyo bora, hivyo kuimarisha mnyororo wa thamani wa kilimo na kuchochea maendeleo ya viwanda nchini. Ziara hizo za Bodi ya Wakurugenzi ya Benki Kuu ya Tanzania katika miradi ya kimkakati na shughuli za kiuchumi zinawawezesha kupata uelewa wa kina kuhusu utekelezaji wa miradi hiyo, changamoto zilizopo, na mchango wake katika kukuza uchumi wa taifa, ili kuwezesha maamuzi sahihi na yenye tija katika usimamizi wa sera ya fedha na maendeleo ya uchumi wa nchi."
Bodi ya Wakurugenzi ya Benki Kuu ya Tanzania, ikiongozwa na Mwenyekiti wake ambaye pia ni Gavana wa ...